歌词
@migu music@
@migu music@
Hayawani - Nyashinski
Lyrics by:Cedric "Cedo" Kadenyi/Nyashinski
Composed by:Nyashinski/Cedric "Cedo" Kadenyi
Kabla Suala ukamilishe Mama
Tafadhali Mola mwambie
Milele anichunge mi nisije zama
Mashetani yasinivamie
Chukiwivu tunakutesa
Linda kwako usiwaskie
Kwa nini hatuwezi sote kupenda
Oii wenzangu acha niwaambie
Labda si sote wendawazimu
Labda laana yetu pesa
Kesho ukipoteza kila kitu
Dunia nzima itakucheka
Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu
Wabaki hao ndio kusema
Kesho wapigie demu yangu simu
Asahau alivyonipenda
Ooo Hayawani
Hayayayaya
Hayawani hawa si watu hawa
Hayayayaya
Binadamu kageuka mnyama
Hayawani
Hayawani
Hayawani
Hayayayaya
Hayawani hawa
Hayawani hawa
Hayawani hawa
Hayayayaya
Tunaongezea nini bidii
Na roho ya mwanadamu haitosheki aki
Sorry if I never made u happy
I can't be there for everybody
It's easy to see
Wengi huishi kutafuta kasoro kwako
Why man so money minded
You wanna take from every one
Man eat man society
Huoni haya kuvunja familia
Hamna utu ni kujifikiria
Woii binadamu wote mmegeuka Hyawani
Hayayayaya
Hayawani hawa si watu hawa
Hayayayaya
Binadamu kageuka mnyama
Hayawa
Hayawani wawa
Hayawa
Hayawani wawa
Hayayayayaya
Hayawa
Hayawani wawa
Hayawa
Hayawani wawa
Hayayayayaya
Kabla Suala ukamilishe Mama
Tafadhali Mola mwambie
Milele anichunge mi nisije zama
Mashetani yasinivamie
Chukiwivu tunakutesa
Linda kwako usiwaskie
Kwa nini hatuwezi sote kupenda
Oii wenzangu acha niwaambie
Labda si sote wendawazimu
Labda laana yetu pesa
Kesho ukipoteza kila kitu
Dunia nzima itakucheka
Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu
Wabaki hao ndio kusema
Kesho wapigie demu yangu simu
Asahau alivyonipenda
Hayawani
Hayawa
Hayawani
Hayawa
Hayawani
Hayawa
Hayawani
Hayawa
Hayayayaya
展开