Hayawani

作词:Cedric "Cedo" Kadenyi,Nyashinski

作曲:Cedric Cedo Kadenyi

所属专辑:Hayawani

歌词

@migu music@

@migu music@

Hayawani - Nyashinski

Lyrics by:Cedric "Cedo" Kadenyi/Nyashinski

Composed by:Nyashinski/Cedric "Cedo" Kadenyi

Kabla Suala ukamilishe Mama

Tafadhali Mola mwambie

Milele anichunge mi nisije zama

Mashetani yasinivamie

Chukiwivu tunakutesa

Linda kwako usiwaskie

Kwa nini hatuwezi sote kupenda

Oii wenzangu acha niwaambie

Labda si sote wendawazimu

Labda laana yetu pesa

Kesho ukipoteza kila kitu

Dunia nzima itakucheka

Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu

Wabaki hao ndio kusema

Kesho wapigie demu yangu simu

Asahau alivyonipenda

Ooo Hayawani

Hayayayaya

Hayawani hawa si watu hawa

Hayayayaya

Binadamu kageuka mnyama

Hayawani

Hayawani

Hayawani

Hayayayaya

Hayawani hawa

Hayawani hawa

Hayawani hawa

Hayayayaya

Tunaongezea nini bidii

Na roho ya mwanadamu haitosheki aki

Sorry if I never made u happy

I can't be there for everybody

It's easy to see

Wengi huishi kutafuta kasoro kwako

Why man so money minded

You wanna take from every one

Man eat man society

Huoni haya kuvunja familia

Hamna utu ni kujifikiria

Woii binadamu wote mmegeuka Hyawani

Hayayayaya

Hayawani hawa si watu hawa

Hayayayaya

Binadamu kageuka mnyama

Hayawa

Hayawani wawa

Hayawa

Hayawani wawa

Hayayayayaya

Hayawa

Hayawani wawa

Hayawa

Hayawani wawa

Hayayayayaya

Kabla Suala ukamilishe Mama

Tafadhali Mola mwambie

Milele anichunge mi nisije zama

Mashetani yasinivamie

Chukiwivu tunakutesa

Linda kwako usiwaskie

Kwa nini hatuwezi sote kupenda

Oii wenzangu acha niwaambie

Labda si sote wendawazimu

Labda laana yetu pesa

Kesho ukipoteza kila kitu

Dunia nzima itakucheka

Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu

Wabaki hao ndio kusema

Kesho wapigie demu yangu simu

Asahau alivyonipenda

Hayawani

Hayawa

Hayawani

Hayawa

Hayawani

Hayawa

Hayawani

Hayawa

Hayayayaya

展开